Friday, July 22, 2011

KARIUA INVESTMENT YAFANYA KONGAMANO KUBWA KWA WAKALA WA M-PESA WA JIJI LA MWANZA

Kampuni ya Kariua Investment inayojihusisha na usimamizi wa shughuli za mawakala wa kifedha kwa njia ya M-pesa imefanya semina kwa mawakala wake mapema wiki hii, dhumuni la semina hii ni kuwapa mbinu mpya za utendaji kazi na kutambua huduma mpya zinazopatikana katika huduma hiyo ya M pesa, mafunzo hayo yaliyoambatana na hafla ya chakula cha jioni ilifanyika katika hotel ya MIDLAND  iliyopo jijini Mwanza

Umakini unakuwa mkubwa ktk ufuatiliaji wa ajenda moja baada ya nyingine.




Darasa likiendelea



M-blogishaji nami nilikuwa mmoja wa waalikwa wa chakula cha jioni




Jeremiah Mahalu mmoja kati ya wafanyakazi machachari wa kampuni hiyo akifanya utani na moja ya wakala wake

Baadhi ya wakala walioitikia wito na kupokea mbinu za kuwanasa wateja


Dada Eva wa Kariua Inv. na wakala Gahanga ....

Hajji Mhassa kutoka Kariua Inv. akiwa na Elizabeth hakua nyuma....



Trainer wa Wakala wapya wa M pesa  George Mashigila (kulia) akitafakari mambo yaliyozungumzwa katika kongamano



Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Kariua Investment Mwanabure 'Dada Mwana' baada ya kuhitimisha kuwapa madini mapya wakala




 Picha ya pamoja Blogger Tony Sambuka (Kushoto), Sales manager Richard (kati) na Mr. George Mashigila


 Miraj Yussuph kutoka Kariua Inv. akijianda tushusha nyundo zake kwa wakala waliohudhuria kongamano





No comments:

Post a Comment