Thursday, October 25, 2012

Baadhi ya warembo watakao shiriki kinyang'anyiro cha miss Ilemela kinachotarajiwa kufanyika tarehe 26/05/2012 kwa mara ya kwanza katika ukumbi mkubwa wa GOLD CREST HOTEL jijini Mwanza.

Wednesday, May 30, 2012



TAREHE YA MISS NYAMAGANA  KUFANYIKA IJUMAA YA JUNE 01, 2012
Warembo 20 kutoka wilaya ya Nyamagana Mwanza.
Stoppers Entertainment inakuletea Miss Nyamagana 2012 Mwanza. Warembo wenye Haiba, Tabasamu, Minato na Catwalk ya uhakika.
Shindano litafanyika ijumaa ya tarehe 01 june 2012, saa 2 usiku katika ukumbi wa Nyerere uliopo katika hoteli ya Gold crest Mwanza.
Kwa kiingilio cha Tsh 20,000/- Mashabiki watashuhudia shindano hilo.
Burudani ni pamoja Mwanamuziki Linah, mara baada ya ziara yake ya nchini Marekani, show yake ya kwanza, itakua jijini Mwanza, Mwingine ni Ditto kutoka THT, pamoja na mwanamuziki Hafsa Kazinja aliyetamba na kibao chake cha Pressure akimshirikisha Banana Zorro.
MC au Mshehereshaji mkuu katika shindano hilo ni muigizaji maarufu katika tasnia ya uchekeshaji namzungumzia Mpoki.