Wednesday, August 3, 2011

BREAKING NEWZ: RAMSEY NOAH ADONDOKA GHOROFANI


-->

Ramsey Noah amenusurika kifo baada ya kuanguka toka ghorofani wakati ana shoot movie mpya akiwa nchini Ghana.
Ramsey alikua on set na actors Nana Ama McBrown,Beverly Afaglo,Roslyn Ngissah,Nana Hayford wakiwa wnajiandaa Hotel Babylon,Where Clothes Are Naked chini ya directer Kobi Rana,Na alianguka toka kwenye ghorofa na inasemekana Ramsey ameumia kwa ndani kitaalamu wanaita internal bleeding baada ya kulalamika maumivu ya tumbo huku akitoka damu mdomoni na kupewa huduma ya kwanza kabla ya kupelekwa hospitali jijini Accra.Ramsey alishawahi kupata ajali ya pikipiki mwaka 2007 na ajali hiyo na ameweka jino la bandia.

Monday, August 1, 2011

INTER ZEPHA TANZANIA LIMITED JIJINI MWANZA YATOA ZAWADI KWA MSHINDI.


Afisa mauzo na masoko wa Inter zepha Tanzania Limited Mr.Hamisi S. Fupi akitoa zawadi kwa mshindi.

Sehemu ya wanafunzi wa shule ya Pamba Sekondari ya jijini Mwanza walioshuhudia tukio hilo.

Washindi walioshinda katika Essay writing competition, kutoka kulia ni Renatus Hemed (head prefect) mshindi wa 3 ,Mayala P Mapinda mshindi wa 1 na Samwel J Mtiba mshindi wa 2.

Wanafunzi wakijumuika katika picha ya pamoja kumpongenza mshindi Mayala P Mapinda.

Inter zepha Tanzania Limited ya jijini la Mwanza imetoa zawadi kwa mshindi wa shindano la essay writing competition lililofanyika katika shule ya sekondari pamba ya jijini mwanza. Shindalo hilo lililo jumuisha wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 baada ya kampuni kufanya Semina kuhusu ICT Aweaness iliyofanyika tar 15 july na kutoa zoezi la kuandika essay juu ya umuhimu wa tekinolojiya ya habari na mawasiliano katika elimu ambapo kampuni hiyoilitoa ahadi kutoa zawadi ya lap top kwa mshindi.

Interzepha inatoa pongezi kwa Mayala P mapinda wa kidato ya 5 CBG kwa kuwa mshindi la shindalo hilo.pia tunatoa shukurani za dhat kwa wanafunzi wote walioshiriki.