Wednesday, July 6, 2011

HABARI PICHA ZA MACHAFUKO YA MAANDAMANO YALIYOTOKEA JIJINI MWANZA ASUBUHI YA LEO


Huu ni mmoja kati ya mtaa maarufu wa hapa jijini Mwanza wa MAKOROBOI ukiwa umefungwa kuhofia vurugu


Hadi sasa idadi ya watu waliofariki dunia kwa kupigwa risasi imefkia watu watatu
Mungu azilaze roho zao mahala pema peponi - Aamen 
picha kwa hisani ya G. SENGO

No comments:

Post a Comment