Friday, May 20, 2011

VIKOSI VYA BONGO MOVIE v/s DJs VITACHOCHEZA JUMAPILI HII JIJINI MWANZA HIVI HAPA

Kikosi kizima kitakachotua jijini Mwanza siku ya Jumamosi kimetajwa rasmi tayari kwa ziara hiyo.Kikosi hicho ambacho kitatua jijini Mwanza tayari kwa mchezo wao utakaowakutanisha na Watangazaji na Madj wa wa mji huo kinajumuisha wanaume na wanawake.Kikosi hicho ni kama ifuatavyo:

Hartman,Jacob Stephen (JB),Chiki Mchoma, Rado, Richie Richie,  Ray,  Cloud,Kiduku,   Jimmy Master,  Salehe,  Steven Nyerere,  Bitebo,     Masanja Mkandamizaji ,  Kupa,  Jimmy Mafufu,   Ben Kinyaiya,    Tinno,   Taff,  Malima, Shija. Wanawake watakaongozana na 

Timu ni Wema Sepetu, Mainda,Jackline Wolper,  Odama, Jackline Pentezel, Maya, Snura


MA DJs na watangazaji HAWA HAPA!!!!


Timu ya Madj na Watangazaji inaundwa na Dj John,Dj Chriss,  Dj Maliz,  Dj Cutter,Ally Coco,Fred wa kaka bonda,  Filbert kabago,  Muhsin Mambo.   Dj Simba,  Jeff Jerry na Uncle Sam na wengine wengi tuu.  Burudani itakuwa kubwa siku hiyo kwani Bongo Movie Fc wanakuja kamili kamili.  Mastar wote wa Filamu siku hiyo watakuwa ndani ya CCM Kirumba kutoa burudani ya kutosha kwa mashabiki watakaofika.

No comments:

Post a Comment