Wednesday, May 25, 2011

EXCLUSIVE: HURUMA ZIMEMPONZA MH.WILLIAM LUKUVI..!!


Waziri William lukuvi ameibuka na kujibu tuhuma za ufisadi wa kujimilikisha vitalu dhidi yake kwa kudai alipewa kibali toka mamlaka husika na baada ya kuvuna mbao alizigawa.
 Awali maombi ya mbao hizo ilikuwa kaomba msaada wa kuikarabatia shule yake iliyopatwa na janga la kuteketezwa kwa moto ili ikarabatiwe upya shule hiyo lakini kutokana na huruma za waziri huyo alizigawa mbao hizo kwa watu binafsi.
"unajua mimi nina huruma sana hata ukinipa nifanye biashara ya karanga ntazigawa zote" alisema lukuvi,hata hivyo bado tunasubiri Dk.Slaa ajibu maoni ya Mh.lukuvi kuwa Dk.Slaa ni mtu wa porojo tu.

No comments:

Post a Comment